fastNEWStz
Pages
Home
Taarifa Kwa Umma
Tangaza Hapa
Dawati la Mhariri
Tuesday, June 19, 2012
Stars kuwasili leo jioni
Kikosi cha Taifa Stars kilichokuwa Msumbiji
Kikosi cha Taifa Stars kinategemewa kuwasili leo jioni majira ya saa moja na nusu uwanja wa ndege wa Julius Nyerere kutoka Msumbiji. Stars walicheza na Mambas wa Msumbiji jumapili na kufungwa 8-7.
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment